Mfano mwengine wa nuni sakinah iliyokuwepo kwenye neno moja:-
مِنـْهُمْ
MIN HUM
Tanween siku zote inakuwa katika mwisho wa neno, kwa hiyo yanatakikana maneno mawili ili ipatikane idh-har ya tanween. Mfano:-
عَذَاب ٌ أَ َلِيمٌ
'ADHAABUN ALIYM
Na kama tutakavyoona katika mifano hii:-