| BACK TO LIST | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
| IDH-HAR IDGHAM IQLAB IKHFAA' | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
بسم الله الرحمن الرحيم
(B) AL IDGHĂM الادغا م
Hali ya pili ya nūni iliyokuwa săkinah na tanween inaitwa idghăm.
Idghăm maana yake ni kuzichanganya herufi mbili kuwa ni herufi moja yenye shaddah ّ , kwahiyo hapa tutatumuia neno ‘kudaghamisha’ ili kufupisha maneno.
Idghăm ina herufi sita (6) nazo ni:
kwa urahisi wa kuzikumbuka herufi hizi zimewekwa kwenye neno hili:
Herufi mbili (2) kati ya hizi ni za kudaghamisha bila ya ghunnah na herufi nne (4) zilizobaki ni za kudaghamisha pamoja na kutia ghunnah.
Idghăm imegawika sehemu mbili:-
1. Idghăm isiyotiwa ghunnah na ١- ا دغا م بلاغنة 2. Idghăm yenye kutiwa ghunnah ٢- ا دغا م بغنة
1. Idghăm isiyotiwa ghunnah herufi zake ni mbili (2) tu nazo ni:
Kwa urahisi wa kuzikumba herufi hizi zinapatikana kwenye neno lifuatalo:
2. Idghăm yenye kutiwa ghunnah herufi zake ni nne (4) nazo ni:
Kwa urahisi wa kuzikumba herufi hizi zinapatikana kwenye neno lifuatalo:
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|